La Première - Télévision - DOCUMENTAIRES
 
 
 

 
Viols (Part1) : Arme de guerre au Congo
 
 
 
 
Réponses vidéos
 
 
 
 
Forum de discussion sur cette vidéo
 
 
Commentaires (8)add comment

MUKENGE BARHEGINE said:

0
TUJI TIYE KUFASI YA AWA WA MAMA . FIKIRIYA KAMA ANGE KUWA MAMA YAKO , DADA YAKO AMA BIBI YAKO AMA MWENYEWE !!!
Jambo tena Wazee ,
Mbele ya yote ni kupigiya ndugu yetu Olivier Katoto , aksanti kwa ii abari na zaidi kwa kazi yote anayo ifanya kila siku ili kutujulisha mambo ya kwetu . Kweli MUNGU akubariki na akusaidiye muma kazi zote . Piya askanti kwa Wazee wetu kama Dr . Mukwege kwa kazi yake .
Basi, nafikiri sisi sote tume angaliya ii mambo inayo pita kwetu na ambayo wa Mama na wa Dada wetu wana pita ndani na kuteswa . Nilipo fata ii mambo , ime ni uma sana na kuni tesa , bali iliyo niuma na kuniogopesha zaidi ni kwamba kwetu mupaka leo hakuna kitu kyenye kina fanywa na sisi vijana ili kusimamisha ii mateso ya taifa na zaidi kuji tayarisha ili kuongoza mambo kwetu nakutarajiya maisha yakesho mema kwa watu wetu na inchi yetu .
Nimeongeya na mwenzangu mumoja kwa inchi za ulaya na jibu yake ni kwamba " basi tuta fanya nini? iyo mambo ime pita na hatuna lakufanya " . Ndiyo, ivo ndivyo vijana wengi wana fikiriya bali uwaze kama ingeli kuwa wewe kweli hungeli fanya kitu ???
Mimi ninayo iomba kwetu ni kujitiya kwa nafasi ya awo wa Mama wa Dada , na taifa letu lote . Na ndiyo maana sisi tuna sema , hapana kwa ii mambo na siyo tu kusema bali pia tuna sema tuji unge sote pamoja ili kama vijana wa kunyumba tujifunze namna gani kuanza kuteteya awa wa Mama na siyo tu kuwa teteya bali kujifunza namna gani tuta tayarisha taifa letu ili iyo mambo isi fanyikane tena kwetu na waliyo ifanya wapate ku azibishwa kweli . Muta sema mbona tuna watu na ma ( ONG ) zenye sina fanya iyo kazi ? Bali jiulize kwa nini basi iyo mambo ina endeleya kufanyikana kwetu ? Wazee kweli ni kwamba , hakuna mutu mwenye anaweza kukuteya na kukusaidiya kama siyo wewe mwenyewe . Na iyo kweli , mpaka siku mutu mweusi ata i elewa ndiyo ata toka kati utumwa na mateso yenye anayo kuwa ndani . Tuna jidanganya sana na inchi za ulaya.
Wazee , mina waambiya aiko kuishi na kujifisha kati inchi za ulaya ndiyo itatu okoa , kama vile Mardoche aliambiya Esther alipokuwa Bibi ya Mfalme " unajuwa namna gani kama ndiyo maana MUNGU alikuweka pale kwa sababu ya nyakati kama izi ? " ; ndiyo vile mina waambiya ninyi nyote . Ni mambo ya haya na ole sana kama mutu wa Bukavu , Kivu na Congo yote anaweza fata iyi mambo na anaweza kulala bila kuji uliza na kujifunza nita fanya nini . Hata tuna ishi ulaya miaka nakupata makaratasi zao , HAKUNA SIKU MWEUSI UTAKUWA MUZUNGU .

SISI TUNA WA OMBA MUFIKE TUJI UNGE SOTE PAMOJA ILI KUSAIDIYA TAIFA ,MIJI NA INCHI YETU
MUMOJA HAWEZI KITU BALI SOTE PAMOJA MAMBO ITA GEUKA KWA MEMA IYO NDIYO AGANO LETU.

YOTE YA WEZEKANA KWA KILA A AMINIYE MAANA HAKUNA KITU KIGUMU KWA MWENYEZI MUNGU WETU.

Mumoja kati wengi ,
Mukenge Barhegine
19 novembre, 2007

baley jean said:

0
viols
j'aimerai bien le téléchargé
19 novembre, 2007

Arte-tv said:

0
Warning!
arte-tv copyright??? need to be mentionned, you may face huge problem! have you filmed it? broadcast it? careful mate when using stuffs from other sources! Always mention openly the source of the doc! just a warning...
19 novembre, 2007

Administrator said:

62
Response to Arte-TV
Thank you very much for letting the world know about what is going on back in my home country.
Thank you also for the advice about mentionning the "© Arte-TV", I am sorry I was caught in the moment, crying and excited to let people who are first concerned about this situation know about it.

I am already poor trying to spread the news about all the bad things going on in my country without any help from people, once taken to court they won't have anything to take from me, I sucked up already.

That was a joke.

In all, thak you for this programme and I will mention the "© Arte-TV", you are 100% right and keep on the good work.

I love you guys
20 novembre, 2007

Chirimwami said:

0
La Honte et l'Espoir
C'est la honte, car le gouvernment congolais demeure incapable de resoudre le probleme du Sud-Kivu. Et l'espoir, car certains congolais, notament le rapporteur de cet information nous reveille du sommeil. Debout congolais unissons-nous pour la dignite de nos Mamans.

Oregon
USA
30 novembre, 2007

Oliver Katoto said:

0
Thank God For You
I have just received this mail from someone and I say thank God for her.

I would like to know if you have the hispital panzi contact. I saw a documentary, there was a little girl (10 years old) victim of rape that I would like to adopt. I need to find more infos about her.


I don't have the contact but I will surely look
30 novembre, 2007

berckymans Kamanzi said:

0
soyeux courageux
Je suis rwandais tutsi,né et grandi dans la sol congolais que je considère comme ma première patrie.Je suis désolé de voir mes frères persécuter ces gens qui nous ont bien acceuilli chez eux pendant plusieurs années.J'ai peur que cela ait une répercussion négative sur l'avenir de nos enfants,Car Dieu n'est pas aveugle pour ne pas voir les barbaries que nous avons commises dans ce pays.Repentez vous,car il est grand temps et c'est bientôt la fin. chacun rendra ses comptes à Dieu pour ses actes.Quant à vous congolais,soyez tjrs confiant car votre D ieu agira pour vous et vous protègera. BERCKY KAMANZI
25 décembre, 2007

Geraud said:

0
Existence ou non existence
Comme l'aurait dit Hamlet dans sa piece "etre ou ne pas etre la est la question" aujourd'hui la meme question se pose pour l'etat congolais? Existe t-il ou pas un etat congolais? Existe t-il un etat capable de mettre fin a ses massacres. Et meme quand Il ne peut pas assurer la securite n'est il pas capable de pouvoir d'ssurer le suivi de ces femmes martyrisees .Ce n'est pas normal que ca soient les blancs, les ONG internationales qui viennent palier aux souffrances de nos soeurs,meres et grands-meres, ce n'est pas normal que le ministre de la condition feminine se taise devant tant de barbaries....
Ce n'est pas normal que ce travail de reconfort et de soutien soient faits par des etrangers... Tout ca m'ecoeure.
21 février, 2008

Ecrivez un commentaire
Réduire l'éditeur | Agrandir l'éditeur

security image
Entrez les caractères affichés


busy
 
 
 
 
 
Information sur cette vidéo
 
 
Date :19 novembre 2007
Clics :4879
Votes :8 Moyenne :4.5
Voter:
 
© Arte-TV. Femmes violées de Bukavu, de Walungu et Katana Miti, Les tueries de Kaniola et travail du Dr Mukwege.. 2007
 
 
 
 
 
Trié par
 
 
 Vidéos catégorie "DOCUMENTAIRES"
Directed by Jonathan Allen and Alex Gabbay and filmed in Benin, Malawi and the Democratic Republic o...
Shot in the war zones of the Democratic Republic of Congo in 2006, this film breaks the silence surr...
les viols, le refuge
November 2008
Feeder in Democratic Republic of Congo
@ 2007 Angalio Productions
Violences sexuelles en RDC
Histoire des viols du congo
Le viol est utilisee comme une arme pendant la guerre au Congo
(Part 3 of 3 - you can watch the other parts on Youtube) In June 1999, the Dutch Madunia foundation...
 
 
Aller à la page: / 9